Nyumbani

Karibu Tacmen Saccos

Karibu sana kwa Saccos ya Wanaume Wakristo Tanzania – mwanaume yeyeote Mkristo toka dhehebu lolote la Kikristo anakaribishwa kuwa nasi. Tumekuwa na chombo chetu hiki sasa kwa miaka takribani minne na sasa tumefikia karibu wanachama 200.

Mafanikio yetu…

200+

Wanachama waliojiunga tangu tuanze ushirika wetu

Tsh 250mil

Mikopo iliyotolewa kwa wanachama

5

Miaka mitano kuelekea kuwa Benki

Design a site like this with WordPress.com
Get started